Jumamosi, 29 Juni 2019
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo cha watoto yatima Amana centre kilichopo mwananyamala jijini dar es salaam kwa kuosha magari ambayo yana lipiwa na wadau ambao wameweza kujitokeza siku ya leo na kuoshwa na washiriki wa miss kinondoni wakiongozwa na mratibu wao Nancy supermodel na pesa kukusanywa na mlezi wa kituo hicho
Mratibu wa miss Kinondoni Bi Nancy supermodel

Mratibu wa mashindano ya miss Kinondoni 2019 Bi Nancy Supermodel ametangaza rasmi zawadi ya mshindi wa kwanza hadi wa tano,mshindi wa kwanza atajinyakulia zawadi ya gari aina ya bm mini cooper,mshindi wa pili atapata set bedroom,mshindi watatu anapata tv flatscreen kubwa na kin'gamuzi,mshindi wa nne atapata milioni moja,na watano atapata tsh laki tano
washiriki wakiosha magari kwaajili ya kukamilisha mchango wa kuchangia kituo hicho
.
Zawadi ya mshindi wa kwanza
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Asilimia kubwa ya watu wamekuwa na tatizo la kuwa na makovu yanayosababishwa na chunusi kwa kipindi kirefu bila kupata ufumbuzi, na hii ...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
0 maoni:
Chapisha Maoni