Alhamisi, 18 Julai 2019
Tarehe kama ya leo julai 18 mwaka 1918 alizaliwa,Mzee Nelson Mandela Raisi wa kwanza wa Africa kusini alichaguliwa kidemokrasia na ni mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel
alifariki December 5-2013 akiwa na umri wa miaka 95.Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 gerezani kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa adrica kusini unaofahamika kama Ukaburu
Aliachiwa huru kutoka gerezani mwaka 1990 na kuwa raisi alitumikia miaka mine na baadae kuachia madaraka baada ya kutumikika kwa kipindi kimoja tu.Kitendo adimu kufanywa na viongozi waliopo
.
Akiwa mtu anayependwa Zaidi duniani,mandela aliwavutia mamilioni ya watu kwenye hotuba zake zilizokuwa zimejaa maneno ya faraja na ukombzi

Hii ni moja ya nukuu zake alipoamua kuachia madaraka kwa hiyari yake
"ongoza kutokea nyuma na wafanye wengine waamini wao ndio wako mbele zako"
Je?wew unwkumbuka nukuu gani kutoka kwa hayati "NELSON MANDELA"
toa comment yako hapo chini.HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA
alifariki December 5-2013 akiwa na umri wa miaka 95.Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 gerezani kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa adrica kusini unaofahamika kama Ukaburu
Aliachiwa huru kutoka gerezani mwaka 1990 na kuwa raisi alitumikia miaka mine na baadae kuachia madaraka baada ya kutumikika kwa kipindi kimoja tu.Kitendo adimu kufanywa na viongozi waliopo
.
Akiwa mtu anayependwa Zaidi duniani,mandela aliwavutia mamilioni ya watu kwenye hotuba zake zilizokuwa zimejaa maneno ya faraja na ukombzi

Hii ni moja ya nukuu zake alipoamua kuachia madaraka kwa hiyari yake
"ongoza kutokea nyuma na wafanye wengine waamini wao ndio wako mbele zako"
Je?wew unwkumbuka nukuu gani kutoka kwa hayati "NELSON MANDELA"
toa comment yako hapo chini.HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Asilimia kubwa ya watu wamekuwa na tatizo la kuwa na makovu yanayosababishwa na chunusi kwa kipindi kirefu bila kupata ufumbuzi, na hii ...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...


0 maoni:
Chapisha Maoni