Jumatano, 14 Julai 2021
Hii ni baada ya taarifa siku ta jana kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na watu wengi kushangaa kwanini Miss Tanzania 2020-2021 Rosey Manfere hajatangazwa kwenda kushiriki Miss World2021 na badala yake ametangazwa mshindi wa pili ambaye ni Juliana Lugumisa taarifa za ndani zina sema
"Kulitokea na utovu wa nidhamu kati ya Miss Tanzania Rosey na waandaaji wa mashindano ya miss Tanzania hivyo kutokana na kukiuka baadhi ya taratibu kamati ya Miss Tanzania ikafikia hatua hiyoya kumtangaza mshindi wa pili kwenda kushiriki
Miss Tanzania Rosey Manfere alipewa taarifa wiki mbili zilizopitz kuwa hatoenda kushiriki miss world kutokana na utovu wa nidham"
Taarifa za ndani zinasema hivyo,
Ikumbukwe Miss World 2021 inategemea kufanyika December 16,2021 Puerto Rico na anayepeperusha bendera yetu kwa sasa ni Juliana Lugumisa aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili. Waswahili wanasema kutesa kwa zamu
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Asilimia kubwa ya watu wamekuwa na tatizo la kuwa na makovu yanayosababishwa na chunusi kwa kipindi kirefu bila kupata ufumbuzi, na hii ...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
0 maoni:
Chapisha Maoni