Jumapili, 12 Aprili 2015
On 08:29 by barbrawilliam in Michezo No comments
MAGWIJI wa Tanzania wafungwa bao 2-1 na Magwiji wa Tanzania
Bao la kwanza la Barcelona limefungwa na Luis Garcia katika dakika ya 9′ akimalizia mpira wa kona uliochongwa na mkali wao, Mholanzi, Patric Kluivert.
Tanzania walisawazisha dakika ya 44′ kupitia kwa Yusuph Macho.
Barcelona waliandika bao la pili na la ushindi katika dakika ya 86′ kupitia kwa Kluivert aliyefunga kwa mwakwaju wa penalti baada ya beki Mustapha Hoza kumuangusha Kluivert mwenyewe.
Naodha wa magwiji wa Tanznia akiojiwa na Bwiga wa cloustv na clous fm |
Mashabiki waliojitokeza uwanjani hapo |
AY na FID Q ni moja ya washabiki wa Barcelona nao walikuwepo uwanjani na walitupia Jezi za klab hiyo |
Mchezaji Patrick Kluvert na wenzake wakiingia uwanjani kupasha kabla ya mechi kuanza |
Kocha wa Barcelona akibadilishana mawazo |
Blogger na Meneja tv51 Lonely L.Nzali alikuwepo kukupasha Habari |
wachezaji wa Barcelona wakionesha upendo kwa walemavu wa ngozi kabla ya mechi kuanza |
Waziri wa Habari ,utamaduni na michezo Mh;Fenera Mkangara akisalimiana na wachezaji |
Nahodha wa tanzania akionesha kuumia baada ya kufungwa goli la kwanza |
Mchezaji wa Barcelona akiteta jambo na chipukizi wa soka Tanzania |
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
0 maoni:
Chapisha Maoni