Jumapili, 12 Aprili 2015
On 08:29 by barbrawilliam in Michezo No comments
MAGWIJI wa Tanzania wafungwa bao 2-1 na Magwiji wa Tanzania
Bao la kwanza la Barcelona limefungwa na Luis Garcia katika dakika ya 9′ akimalizia mpira wa kona uliochongwa na mkali wao, Mholanzi, Patric Kluivert.
Tanzania walisawazisha dakika ya 44′ kupitia kwa Yusuph Macho.
Barcelona waliandika bao la pili na la ushindi katika dakika ya 86′ kupitia kwa Kluivert aliyefunga kwa mwakwaju wa penalti baada ya beki Mustapha Hoza kumuangusha Kluivert mwenyewe.
| Naodha wa magwiji wa Tanznia akiojiwa na Bwiga wa cloustv na clous fm |
| Mashabiki waliojitokeza uwanjani hapo |
| AY na FID Q ni moja ya washabiki wa Barcelona nao walikuwepo uwanjani na walitupia Jezi za klab hiyo |
| Mchezaji Patrick Kluvert na wenzake wakiingia uwanjani kupasha kabla ya mechi kuanza |
| Kocha wa Barcelona akibadilishana mawazo |
| Blogger na Meneja tv51 Lonely L.Nzali alikuwepo kukupasha Habari |
| wachezaji wa Barcelona wakionesha upendo kwa walemavu wa ngozi kabla ya mechi kuanza |
| Waziri wa Habari ,utamaduni na michezo Mh;Fenera Mkangara akisalimiana na wachezaji |
| Nahodha wa tanzania akionesha kuumia baada ya kufungwa goli la kwanza |
| Mchezaji wa Barcelona akiteta jambo na chipukizi wa soka Tanzania |
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano ...
-
urembo Fashionable lineup ... Rihanna, Beyonce, Jay Z, Kim Kardashian, Jennifer Lopez and Sarah Jessica Parker. Pictures: Getty Source...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
0 maoni:
Chapisha Maoni