Jumatano, 17 Julai 2019
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL

Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina la UFAHARI WETU "urith wetu"lenye lengo la kuitangaza utanzania katika vazi la kitenge
Mbunifu huyo wa mitindo ya kipekee nchini amesema maonyesho hayoyatafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam tarehe20 jumamosi hii kwa kuwashirikisha wabunifu na wanamitindo kutoka nchini china pamoja na watanzania ikiwa ni kutangaza Utanzania katika vazi la kitenge
Amewataka wadau mbalimbali kutoa ushirikiano kwa kuleta bidhaa zao siku iyo na watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha ilo la Ufahali wetu 'urith wetu

wabunifu wa mavazi nchini wamejitokeza kutoa ushirikiano pamoja na waandaaji wa vipindi vya urembo na mitindo nao watoa surpot yao siku ya tamasha hilo
m

Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina la UFAHARI WETU "urith wetu"lenye lengo la kuitangaza utanzania katika vazi la kitenge
Mbunifu huyo wa mitindo ya kipekee nchini amesema maonyesho hayoyatafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam tarehe20 jumamosi hii kwa kuwashirikisha wabunifu na wanamitindo kutoka nchini china pamoja na watanzania ikiwa ni kutangaza Utanzania katika vazi la kitenge
Amewataka wadau mbalimbali kutoa ushirikiano kwa kuleta bidhaa zao siku iyo na watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha ilo la Ufahali wetu 'urith wetu

wabunifu wa mavazi nchini wamejitokeza kutoa ushirikiano pamoja na waandaaji wa vipindi vya urembo na mitindo nao watoa surpot yao siku ya tamasha hilo
m
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
0 maoni:
Chapisha Maoni