Ijumaa, 26 Juni 2015
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi wamekuwa na uelewa mdogo juu ya masuala ya urembo kwa kudhani kuwa urembo ni kujipaka poda tu usoni na wanja kwenye nyusi huku wakisahau kuwa urembo ni pamoja na kuufanya usafi mwili kwa ujumla
Kwani huwezi kupaka poda kama sura yako si safi.Leo katika safu hii utaona jinsi gani unaweza kubandika kucha za bandi kama una kucha fupi. Kabla ya kubandika kucho hizi hakikisha kucha zako za zsili zinakuwa safi kwa kuziosha na kuzitoa uchafu uliopo ndani ya kucha ili ziweze kuwa safi na kuweza kubandika kucha.
Baada ya kucha hizo kuwa safi unaweza kubandika hizo kucha za bandia bilakusahau kuhakikisha zote zinakuwa katika usawa mmoja tayari kwa ajiri ya kupaka rangi uipendayo. Lakini kumbuka wataaramu wanashauri kucha za bandia zisikae kwa muda mrefu bila kutolewa kwani zinaweza kusababisha kucha halisi kuoza, hivyo wanashauri zitolewe baada ya wiki mbili na si zaidi.
Lakini pia wanashauri kutumia dawa maalumu ya kutolea na si kutoa kienyeji kwani zinaweza kukusababishia maumivu pamoja na kuzifanya kucha halisi kuwa na muonekano mbaya wa mabonde mabonde

Kwani huwezi kupaka poda kama sura yako si safi.Leo katika safu hii utaona jinsi gani unaweza kubandika kucha za bandi kama una kucha fupi. Kabla ya kubandika kucho hizi hakikisha kucha zako za zsili zinakuwa safi kwa kuziosha na kuzitoa uchafu uliopo ndani ya kucha ili ziweze kuwa safi na kuweza kubandika kucha.

Baada ya kucha hizo kuwa safi unaweza kubandika hizo kucha za bandia bilakusahau kuhakikisha zote zinakuwa katika usawa mmoja tayari kwa ajiri ya kupaka rangi uipendayo. Lakini kumbuka wataaramu wanashauri kucha za bandia zisikae kwa muda mrefu bila kutolewa kwani zinaweza kusababisha kucha halisi kuoza, hivyo wanashauri zitolewe baada ya wiki mbili na si zaidi.
Lakini pia wanashauri kutumia dawa maalumu ya kutolea na si kutoa kienyeji kwani zinaweza kukusababishia maumivu pamoja na kuzifanya kucha halisi kuwa na muonekano mbaya wa mabonde mabonde

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Juni
(10)
- VAZI LA KITENGE
- JOKATE MWENGELO NI MREMBO MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA...
- Wema sepetu na mume wa Zari kufungua duka kubwa l...
- Magonjwa ya kinywa na meno husababisha harufu mbay...
- TUMIA MIMEA ASILI KWA KUONDOA CHUNUSI
- Huyu ni mke wa mheshimiwa mmoja hiviiiiiiiii, la h...
- KUWA NA MUONEKANO WA KIPEKEE KATIKA EVENT MBALI MBALI
- UREMBO WA KUCHA KWA MWANAMKE
- Vaa nguo sare na mpenzi wako
- Breaking News; Msanii Maarufu wa Bongo Movie Afari...
-
▼
Juni
(10)
0 maoni:
Chapisha Maoni