Ijumaa, 26 Juni 2015
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi wamekuwa na uelewa mdogo juu ya masuala ya urembo kwa kudhani kuwa urembo ni kujipaka poda tu usoni na wanja kwenye nyusi huku wakisahau kuwa urembo ni pamoja na kuufanya usafi mwili kwa ujumla
Kwani huwezi kupaka poda kama sura yako si safi.Leo katika safu hii utaona jinsi gani unaweza kubandika kucha za bandi kama una kucha fupi. Kabla ya kubandika kucho hizi hakikisha kucha zako za zsili zinakuwa safi kwa kuziosha na kuzitoa uchafu uliopo ndani ya kucha ili ziweze kuwa safi na kuweza kubandika kucha.
Baada ya kucha hizo kuwa safi unaweza kubandika hizo kucha za bandia bilakusahau kuhakikisha zote zinakuwa katika usawa mmoja tayari kwa ajiri ya kupaka rangi uipendayo. Lakini kumbuka wataaramu wanashauri kucha za bandia zisikae kwa muda mrefu bila kutolewa kwani zinaweza kusababisha kucha halisi kuoza, hivyo wanashauri zitolewe baada ya wiki mbili na si zaidi.
Lakini pia wanashauri kutumia dawa maalumu ya kutolea na si kutoa kienyeji kwani zinaweza kukusababishia maumivu pamoja na kuzifanya kucha halisi kuwa na muonekano mbaya wa mabonde mabonde

Kwani huwezi kupaka poda kama sura yako si safi.Leo katika safu hii utaona jinsi gani unaweza kubandika kucha za bandi kama una kucha fupi. Kabla ya kubandika kucho hizi hakikisha kucha zako za zsili zinakuwa safi kwa kuziosha na kuzitoa uchafu uliopo ndani ya kucha ili ziweze kuwa safi na kuweza kubandika kucha.

Baada ya kucha hizo kuwa safi unaweza kubandika hizo kucha za bandia bilakusahau kuhakikisha zote zinakuwa katika usawa mmoja tayari kwa ajiri ya kupaka rangi uipendayo. Lakini kumbuka wataaramu wanashauri kucha za bandia zisikae kwa muda mrefu bila kutolewa kwani zinaweza kusababisha kucha halisi kuoza, hivyo wanashauri zitolewe baada ya wiki mbili na si zaidi.
Lakini pia wanashauri kutumia dawa maalumu ya kutolea na si kutoa kienyeji kwani zinaweza kukusababishia maumivu pamoja na kuzifanya kucha halisi kuwa na muonekano mbaya wa mabonde mabonde
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano ...
-
urembo Fashionable lineup ... Rihanna, Beyonce, Jay Z, Kim Kardashian, Jennifer Lopez and Sarah Jessica Parker. Pictures: Getty Source...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Juni
(10)
- VAZI LA KITENGE
- JOKATE MWENGELO NI MREMBO MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA...
- Wema sepetu na mume wa Zari kufungua duka kubwa l...
- Magonjwa ya kinywa na meno husababisha harufu mbay...
- TUMIA MIMEA ASILI KWA KUONDOA CHUNUSI
- Huyu ni mke wa mheshimiwa mmoja hiviiiiiiiii, la h...
- KUWA NA MUONEKANO WA KIPEKEE KATIKA EVENT MBALI MBALI
- UREMBO WA KUCHA KWA MWANAMKE
- Vaa nguo sare na mpenzi wako
- Breaking News; Msanii Maarufu wa Bongo Movie Afari...
-
▼
Juni
(10)
0 maoni:
Chapisha Maoni