Alhamisi, 16 Julai 2015
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri

wa nywele na alikuwa akifanya kazi hiyo toka akiwa shuleni na anaipenda hivyo anadai mpaka sasa bado anaipenda na anazidi kujifunza mambo mbali mbali yanayohusu urembo na ususi sababu ni kitu anachokipenda.
Linah alisema kuwa kipindi alipokuwa shule alikuwa maarufu sana kwa ususi kwa kuwasuka watu nywele ingawa alikuwa analipwa ujira mdogo wa shilingi mia tano lakini alikuwa anapenda kile alichokuwa akikifanya na alikuwa anafurahi kuona anawasuka wanafurahi kusukwa vizuri na yeye .
Unajua mimi napenda sana ususi toka nikiwa shule nilikuwa nawasuka wenzangu ingawa walikuwa wakinilipa pesa ndogo Shilingi mia tano lakini nilikuwa napenda kuwasuka na walikuwa wanapendeza hivyo hali hiyo iliendelea hata nilipokuwa nyumbani kuna watu nilikuwa nawasuka hivyo kusuka ni kipaji changu nje ya muziki nao fanya sasa, najitahidi sana niweze kuwa na Salaoon yangu .
"Unajua mimi jina langu kwa sasa ni kubwa na thamani yake pia hivyo siwezi kusema nifungue tu kiji-Saloon bali napaswa kufungua Saloon kubwa yenye sifa la jina langu, kiasi kwamba hata mtu akiangalia na kuaambiwa hii Saloon ya Linah aweze kukubali na kuona yes nimefanya jambo, ndiyo maana nasema inabidi nijipange kwanza ili niweze kufanya hilo.
Linah anakiri wazi kuwa ususi ni kipaji chake lakini anasema kutokana na kuwa busy na masuala ya muziki kipaji chake hicho cha ususi kimekaa pembeni japo anaamini kuwa anaweza kukiendeleza na kufanya mwenyewe hiyo kazi na kwenda sawa na mabadiliko ya mitindo ya nywele yaliyopo kwa sasa
" Ingawa kwa sasa kuna style nyingi za ususi hivyo naamini hazinitoi jasho inabidi kujifunza tu na kufanya sana mazoezi ila ninaweza kujifunza na kuvijua vitu vingine vingi zaidi vinavyohusiana na ususi na mambo ya urembo kama nitajifunza na kujiongeza " Aliongeza Linah Sanga

wa nywele na alikuwa akifanya kazi hiyo toka akiwa shuleni na anaipenda hivyo anadai mpaka sasa bado anaipenda na anazidi kujifunza mambo mbali mbali yanayohusu urembo na ususi sababu ni kitu anachokipenda.
Linah alisema kuwa kipindi alipokuwa shule alikuwa maarufu sana kwa ususi kwa kuwasuka watu nywele ingawa alikuwa analipwa ujira mdogo wa shilingi mia tano lakini alikuwa anapenda kile alichokuwa akikifanya na alikuwa anafurahi kuona anawasuka wanafurahi kusukwa vizuri na yeye .
Unajua mimi napenda sana ususi toka nikiwa shule nilikuwa nawasuka wenzangu ingawa walikuwa wakinilipa pesa ndogo Shilingi mia tano lakini nilikuwa napenda kuwasuka na walikuwa wanapendeza hivyo hali hiyo iliendelea hata nilipokuwa nyumbani kuna watu nilikuwa nawasuka hivyo kusuka ni kipaji changu nje ya muziki nao fanya sasa, najitahidi sana niweze kuwa na Salaoon yangu .
"Unajua mimi jina langu kwa sasa ni kubwa na thamani yake pia hivyo siwezi kusema nifungue tu kiji-Saloon bali napaswa kufungua Saloon kubwa yenye sifa la jina langu, kiasi kwamba hata mtu akiangalia na kuaambiwa hii Saloon ya Linah aweze kukubali na kuona yes nimefanya jambo, ndiyo maana nasema inabidi nijipange kwanza ili niweze kufanya hilo.
Linah anakiri wazi kuwa ususi ni kipaji chake lakini anasema kutokana na kuwa busy na masuala ya muziki kipaji chake hicho cha ususi kimekaa pembeni japo anaamini kuwa anaweza kukiendeleza na kufanya mwenyewe hiyo kazi na kwenda sawa na mabadiliko ya mitindo ya nywele yaliyopo kwa sasa
" Ingawa kwa sasa kuna style nyingi za ususi hivyo naamini hazinitoi jasho inabidi kujifunza tu na kufanya sana mazoezi ila ninaweza kujifunza na kuvijua vitu vingine vingi zaidi vinavyohusiana na ususi na mambo ya urembo kama nitajifunza na kujiongeza " Aliongeza Linah Sanga
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Julai
(11)
- MAYUNGA NALIMI AIRTEL TRACE MUSIC STAR
- JINSI YA KUJIWEKA WA THAMANI KWA MPENZI WAKO
- Miti shamba inayofanya matiti kuwa makubwa na yal...
- JE? UNAMFAHAMU LINAH SANGA NJE NA MUZIC ANAJISHUGH...
- BREAK NEWS;UJIO WA LOWASA CHADEMA WAWAGAWA MBOWE N...
- STAA NA MTOKO TOFAUTI NDANI YA BET
- MNYAMA MWENYE SAUTI KUBWA DUNIANI
- FAIDA YA LIMAO KWENYE NGOZI
- FANGASI SEHEMU ZA SIRI
- PENDEZA KWA KUPAKA MAKE UP KUTOKANA NA KIREMBA ULI...
- CHAGUA RANGI YA MDOMO KUTOKANA NA RANGI YAKO
-
▼
Julai
(11)
0 maoni:
Chapisha Maoni