Jumatatu, 20 Julai 2015
On 10:03 by barbrawilliam No comments
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano la kumtafuta mkali wa kuimba ambapo zilishirikishwa nchi 13 kutoka Afrika na Mtanzania Mayunga Nalimi ndio akashinda.
Kivutio kingine kikubwa kwenye hili shindano lililoandaliwa na kituo kikubwa cha TV chaUfaransa, TRACE Urban, kilikua ni Akon, mwimbaji maarufu aliyezaliwa St. Louis, Missouri Marekani miaka 41 iliyopita lakini maisha yake ya utoto yakapitia pia mikononi mwa Senegal.
Kwenye picha ya kwanza juu ni Akon akiwa Jaji pamoja na Lynnsha na Devyne Stephens ambao wakati Mayunga anaimba wimbo wa mwisho kabla ya mshindi kutangazwa, walisimama kwa ishara kwamba wamemnyooshea mikono Mtanzania huyu kwa ukali au kipaji kikubwa alichokionyesha kwenye uimbaji.
Kwenye picha ya kwanza juu ni Akon akiwa Jaji pamoja na Lynnsha na Devyne Stephens ambao wakati Mayunga anaimba wimbo wa mwisho kabla ya mshindi kutangazwa, walisimama kwa ishara kwamba wamemnyooshea mikono Mtanzania huyu kwa ukali au kipaji kikubwa alichokionyesha kwenye uimbaji.
Super star huyu mpya amezaliwa ambapo miongoni mwa vitu atakavyovifanya ni kuungana na Akon kwenye studio yake huko Marekani kwa ajili ya kurekodi single yake ya kwanza (Mayunga)


Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano ...
-
urembo Fashionable lineup ... Rihanna, Beyonce, Jay Z, Kim Kardashian, Jennifer Lopez and Sarah Jessica Parker. Pictures: Getty Source...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Julai
(11)
- MAYUNGA NALIMI AIRTEL TRACE MUSIC STAR
- JINSI YA KUJIWEKA WA THAMANI KWA MPENZI WAKO
- Miti shamba inayofanya matiti kuwa makubwa na yal...
- JE? UNAMFAHAMU LINAH SANGA NJE NA MUZIC ANAJISHUGH...
- BREAK NEWS;UJIO WA LOWASA CHADEMA WAWAGAWA MBOWE N...
- STAA NA MTOKO TOFAUTI NDANI YA BET
- MNYAMA MWENYE SAUTI KUBWA DUNIANI
- FAIDA YA LIMAO KWENYE NGOZI
- FANGASI SEHEMU ZA SIRI
- PENDEZA KWA KUPAKA MAKE UP KUTOKANA NA KIREMBA ULI...
- CHAGUA RANGI YA MDOMO KUTOKANA NA RANGI YAKO
-
▼
Julai
(11)


0 maoni:
Chapisha Maoni