Jumanne, 6 Oktoba 2015
On 13:40 by barbrawilliam in Fashion, Habari, kimataifa.tujuzane, kitaifa, Mitindo, Stly, Urembo No comments
Tamasha la Fahari ya Mwafrika ambalo limefanyika Escape One Mikocheni B jijini Dar es salaam ambalo liliwakutanisha magwiji mbalimbali katika kiwanda cha sanaa ya ubunifu mvbali mbali ambapo walijitokeza wachoraji wa picha,wabunifu wa mavazi navinygo pia burudani za ngoma za asili kutoka bagamoyo pamoja na vyakula vya asili kusheheni siku iyo
Lengo kuu la tamasha hili ni kuwa kutanisha waafrika mbalimbali kujuana na kufundishana fani mbalimbali za ubunifu wa vitu vya kiafrika
.Tamasha hili liliudhuliwa na nchi mbalimbali ikiwemo Zambia,Malawi,Ghana,Namibia,South Afrika na Tanzania.Hii ni mara ya pili kufanyika kwa tamasha hili la Fahari ya Mwafrika hapa nchin
baadhi ya model wakifanya mazoezi kabla ya shughuri kuanza
mmbunifu wa vinyago kwa kutumia mawe waya na shanga akitokea zambia
watoto nao walikuwepo siku hiyo
mmbunifu wa vinyago,shang na mavazi akiwa bize kupanga vitu vyake
Open Africa magazine na wao walikuwepo siku hiyo
model wakijitayarisha kupanda juukwaani
barbra william kutoka tv51
mkurugenzi wa fahari ya mwafrika
kulwa mkwandule afunika siku hiyo kwa kuwavisha model mavaz ya kiupekee
Lengo kuu la tamasha hili ni kuwa kutanisha waafrika mbalimbali kujuana na kufundishana fani mbalimbali za ubunifu wa vitu vya kiafrika
baadhi ya model wakifanya mazoezi kabla ya shughuri kuanza
mmbunifu wa vinyago kwa kutumia mawe waya na shanga akitokea zambia
watoto nao walikuwepo siku hiyo
mmbunifu wa vinyago,shang na mavazi akiwa bize kupanga vitu vyake
Open Africa magazine na wao walikuwepo siku hiyo
model wakijitayarisha kupanda juukwaani
barbra william kutoka tv51
mkurugenzi wa fahari ya mwafrika
kulwa mkwandule afunika siku hiyo kwa kuwavisha model mavaz ya kiupekee
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano ...
-
urembo Fashionable lineup ... Rihanna, Beyonce, Jay Z, Kim Kardashian, Jennifer Lopez and Sarah Jessica Parker. Pictures: Getty Source...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
0 maoni:
Chapisha Maoni