Jumamosi, 29 Juni 2019
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo cha watoto yatima Amana centre kilichopo mwananyamala jijini dar es salaam kwa kuosha magari ambayo yana lipiwa na wadau ambao wameweza kujitokeza siku ya leo na kuoshwa na washiriki wa miss kinondoni wakiongozwa na mratibu wao Nancy supermodel na pesa kukusanywa na mlezi wa kituo hicho
Mratibu wa miss Kinondoni Bi Nancy supermodel

Mratibu wa mashindano ya miss Kinondoni 2019 Bi Nancy Supermodel ametangaza rasmi zawadi ya mshindi wa kwanza hadi wa tano,mshindi wa kwanza atajinyakulia zawadi ya gari aina ya bm mini cooper,mshindi wa pili atapata set bedroom,mshindi watatu anapata tv flatscreen kubwa na kin'gamuzi,mshindi wa nne atapata milioni moja,na watano atapata tsh laki tano
washiriki wakiosha magari kwaajili ya kukamilisha mchango wa kuchangia kituo hicho
.
Zawadi ya mshindi wa kwanza
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
0 maoni:
Chapisha Maoni