Jumanne, 6 Oktoba 2015
On 13:40 by barbrawilliam in Fashion, Habari, kimataifa.tujuzane, kitaifa, Mitindo, Stly, Urembo No comments
Tamasha la Fahari ya Mwafrika ambalo limefanyika Escape One Mikocheni B jijini Dar es salaam ambalo liliwakutanisha magwiji mbalimbali katika kiwanda cha sanaa ya ubunifu mvbali mbali ambapo walijitokeza wachoraji wa picha,wabunifu wa mavazi navinygo pia burudani za ngoma za asili kutoka bagamoyo pamoja na vyakula vya asili kusheheni siku iyo
Lengo kuu la tamasha hili ni kuwa kutanisha waafrika mbalimbali kujuana na kufundishana fani mbalimbali za ubunifu wa vitu vya kiafrika
.Tamasha hili liliudhuliwa na nchi mbalimbali ikiwemo Zambia,Malawi,Ghana,Namibia,South Afrika na Tanzania.Hii ni mara ya pili kufanyika kwa tamasha hili la Fahari ya Mwafrika hapa nchin
baadhi ya model wakifanya mazoezi kabla ya shughuri kuanza
mmbunifu wa vinyago kwa kutumia mawe waya na shanga akitokea zambia
watoto nao walikuwepo siku hiyo
mmbunifu wa vinyago,shang na mavazi akiwa bize kupanga vitu vyake
Open Africa magazine na wao walikuwepo siku hiyo
model wakijitayarisha kupanda juukwaani
barbra william kutoka tv51
mkurugenzi wa fahari ya mwafrika
kulwa mkwandule afunika siku hiyo kwa kuwavisha model mavaz ya kiupekee
Lengo kuu la tamasha hili ni kuwa kutanisha waafrika mbalimbali kujuana na kufundishana fani mbalimbali za ubunifu wa vitu vya kiafrika
baadhi ya model wakifanya mazoezi kabla ya shughuri kuanza
mmbunifu wa vinyago kwa kutumia mawe waya na shanga akitokea zambia
watoto nao walikuwepo siku hiyo
mmbunifu wa vinyago,shang na mavazi akiwa bize kupanga vitu vyake
Open Africa magazine na wao walikuwepo siku hiyo
model wakijitayarisha kupanda juukwaani
barbra william kutoka tv51
mkurugenzi wa fahari ya mwafrika
kulwa mkwandule afunika siku hiyo kwa kuwavisha model mavaz ya kiupekee
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...