Jumatano, 1 Julai 2015
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo husika.Kwa mujibu wa wataalamu wa masuara ya urembo unaweza kupaka rangi ya mdomo kulingana na umri,tukio na nguo unazovaa au ulizo vaa siku hiyo
*Wasichana wanashauriwa kupaka rangi za kawaida
*wanawake wanafanya kazi wanashauriwa kutokupaka rangi zinazo ng"ara au zilizokolea wakati wanakwenda kazini.*
*Wanawake vijana wenye ngozi angavu na umri18na25wanashauriwa kupaka rangi ya pinki.
*Wanawake wenye ngozi nyeusi kati ya 18na25wanaweza kupaka rangi za machungwa
*Wanawake wenye umri25na40 wanashauriwa kupaka rangi zilizopoa. .
Kwa kufanya hivyo,siku zote utajikuta ukiwa na mvuto kwa rangi ya mdomo hata kama una umri mkubwa
*wanawake wanafanya kazi wanashauriwa kutokupaka rangi zinazo ng"ara au zilizokolea wakati wanakwenda kazini.*
*Wanawake vijana wenye ngozi angavu na umri18na25wanashauriwa kupaka rangi ya pinki.
*Wanawake wenye ngozi nyeusi kati ya 18na25wanaweza kupaka rangi za machungwa
*Wanawake wenye umri25na40 wanashauriwa kupaka rangi zilizopoa. .
Kwa kufanya hivyo,siku zote utajikuta ukiwa na mvuto kwa rangi ya mdomo hata kama una umri mkubwa
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano ...
-
urembo Fashionable lineup ... Rihanna, Beyonce, Jay Z, Kim Kardashian, Jennifer Lopez and Sarah Jessica Parker. Pictures: Getty Source...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Julai
(11)
- MAYUNGA NALIMI AIRTEL TRACE MUSIC STAR
- JINSI YA KUJIWEKA WA THAMANI KWA MPENZI WAKO
- Miti shamba inayofanya matiti kuwa makubwa na yal...
- JE? UNAMFAHAMU LINAH SANGA NJE NA MUZIC ANAJISHUGH...
- BREAK NEWS;UJIO WA LOWASA CHADEMA WAWAGAWA MBOWE N...
- STAA NA MTOKO TOFAUTI NDANI YA BET
- MNYAMA MWENYE SAUTI KUBWA DUNIANI
- FAIDA YA LIMAO KWENYE NGOZI
- FANGASI SEHEMU ZA SIRI
- PENDEZA KWA KUPAKA MAKE UP KUTOKANA NA KIREMBA ULI...
- CHAGUA RANGI YA MDOMO KUTOKANA NA RANGI YAKO
-
▼
Julai
(11)





0 maoni:
Chapisha Maoni