Jumatano, 1 Julai 2015
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo husika.Kwa mujibu wa wataalamu wa masuara ya urembo unaweza kupaka rangi ya mdomo kulingana na umri,tukio na nguo unazovaa au ulizo vaa siku hiyo
*Wasichana wanashauriwa kupaka rangi za kawaida
*wanawake wanafanya kazi wanashauriwa kutokupaka rangi zinazo ng"ara au zilizokolea wakati wanakwenda kazini.*
*Wanawake vijana wenye ngozi angavu na umri18na25wanashauriwa kupaka rangi ya pinki.
*Wanawake wenye ngozi nyeusi kati ya 18na25wanaweza kupaka rangi za machungwa
*Wanawake wenye umri25na40 wanashauriwa kupaka rangi zilizopoa. .
Kwa kufanya hivyo,siku zote utajikuta ukiwa na mvuto kwa rangi ya mdomo hata kama una umri mkubwa
*wanawake wanafanya kazi wanashauriwa kutokupaka rangi zinazo ng"ara au zilizokolea wakati wanakwenda kazini.*
*Wanawake vijana wenye ngozi angavu na umri18na25wanashauriwa kupaka rangi ya pinki.
*Wanawake wenye ngozi nyeusi kati ya 18na25wanaweza kupaka rangi za machungwa
*Wanawake wenye umri25na40 wanashauriwa kupaka rangi zilizopoa. .
Kwa kufanya hivyo,siku zote utajikuta ukiwa na mvuto kwa rangi ya mdomo hata kama una umri mkubwa
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Julai
(11)
- MAYUNGA NALIMI AIRTEL TRACE MUSIC STAR
- JINSI YA KUJIWEKA WA THAMANI KWA MPENZI WAKO
- Miti shamba inayofanya matiti kuwa makubwa na yal...
- JE? UNAMFAHAMU LINAH SANGA NJE NA MUZIC ANAJISHUGH...
- BREAK NEWS;UJIO WA LOWASA CHADEMA WAWAGAWA MBOWE N...
- STAA NA MTOKO TOFAUTI NDANI YA BET
- MNYAMA MWENYE SAUTI KUBWA DUNIANI
- FAIDA YA LIMAO KWENYE NGOZI
- FANGASI SEHEMU ZA SIRI
- PENDEZA KWA KUPAKA MAKE UP KUTOKANA NA KIREMBA ULI...
- CHAGUA RANGI YA MDOMO KUTOKANA NA RANGI YAKO
-
▼
Julai
(11)
0 maoni:
Chapisha Maoni