Jumanne, 3 Machi 2015
On 22:10 by barbrawilliam in Habari No comments
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa
watu wenye ulemavu ngozi ,jamii ya kitanzania imekuwa na imani potofu juu ya watu hawa wengine wakiamini
ulemavu wa ngozi ni kama mkosi.
Miaka ya tisini jamii nyingi zilidanganya ya kwamba albino aishi na iwa wanapotea lakini kweli nikwamba
jamii hizo zimekuwa zikiwahua pindi pale tu wanapozaliwa na kuwaficha kwa kuwazika katika mashamba na
hata ndani ya nyumba zao.
Tanzania imeweza kufumbua macho baada ya uhuru wa vyombo vya habari kuanza kuriport habari za mauji
ya watu hawa nakutoa elimu ya kuwatambua albino kama binadamu wengine na wanaweza fanya kila kitu
kama binadamu wengine.
Lakini miaka ya 2006 yakaanza kutokea mauaji ya watu hawa tena ikishirikishwa na imani za kishirikina
kwa baadhi ya watu wakiamini wanapotumia viungo vya albino watafanikiwa katika mambo yao ya Biashara
na hata uongozi hasa katika masuala ya siasa.
Mwenyekiti wa Chama cha albino(W)Temeke Bw; Kassim Kibwe(kushoto) na Mjumbe wa Chama hicho Bw;Yahya Nakanoga |
ndipo harakati za wanahabari kuanza kuliwekea mkazo suala la unyanyasaji wa jamii hiyo ya walemavu wa ngozi
pongezi za dhati ziende kwake Vick mtetema mwanaharakati aliyepigana kufa nakupona kuhakikisha mauaji haya
ya albino yanakwisha nakutokomezwa kabisa ndipo kufanikisha kuanzishwa kwa shirika la "Under the same sun"
ambalo lilikuja kwa nia ya kutetea haki za walemavu hawa na kuwakwamua kiuchumi na hata kielimu.
Lakini licha ya jitiada hizo na walemavu kuwa namategemo juu ya shirika hilo hali imekuwa ndivyo sivyo
baada ya sasa kuonekana shirika hilo likiwa na watu wachache wanaonufaika na misaada hiyo na namba kubwa
ya watu hao ikibaki ikiwalalamikia viongozi wa shirika hilo Tanzania.
Akiongea nasi Mwenyekiti wa chama cha albino wilaya ya Temeke Bw.Kassim Kibwe anasema shirika la under
the same sun limekuwa likitenda ndivyo sivyo kwa sasa kama awali lilivyokuja nakutokuwa na imani nalo tena
hasa kwa kitendo cha kusambaza fomu kwa wazazi wasiojiweza ili kuwaandikisha watoto wao waweze someshwa
lakini ajabu ni kwamba unakuta mzazi hana hata pesa ya kununua kiatu cha mtoto na anaambiwa ampeleke mtoto shule ambazo
ni International na under the same sun wanachangia gharama kiasi na huku gharama zinging zikitakiwa kutoka mzazi tena hugo ambaye
hana uwezo wa kulimia hata mavazi tu ya mtoto kwa shule za kawaida.
Bw;Kibwe (Mkt wilaya ya Temeke) akionesha katiba ya chama cha albino kwa waandishi wa habari |
mengi utaendelea kuyapata kupitia online Tv51(www.tv51.co.tz)makala na vipindi kama fahamu kuhusu albino
ikiwa pamoja na matatizo yanayowakabili walemavu wa ngozi Tanzania
Na Lonely L.nzali
Dar es salaam
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...
0 maoni:
Chapisha Maoni