Ijumaa, 13 Machi 2015
On 02:39 by barbrawilliam in Habari No comments
Mwanamziki wa Bongo Fleva Linah Sanga leo asubuhi amekula shavu la kuwa balozi wa kinywaji cha JEBEL FULL KIPUPWE. Akiwa katika ofisi za Serengeti Breweries Limited msanii huyo alidondosha wino wa mkataba huo huku akiwa pembeni na Managing Director wa SBL Ndugu Steve Gannon.
Pia Linah amekula mkataba wa mwaka mmoja na kampuni fulani hivi ambayo atakuja kuitamka yeye mwenyewe chini ya mameneja wapya na kampuni hiyo itamghamia kuanzia muziki wake pamoja na video yake mpya anayoenda kuifanya South Africa. Kampuni hiyo imesema inatarajia kutoa shilling Million 270 kwa mwaka huo mmoja watakaokuwa na Linah.
Pichani kuanzia kushoto ni Managing Director wa SBL Steve Gannon pamoja na meneja wa Linah aliyekaa upande wa kulia wakishuhudia kwa makini wakati Linah akisaini mkataba huo wa kinywaji cha JEBEL FULL KIPUPWE
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...
0 maoni:
Chapisha Maoni