Ijumaa, 13 Machi 2015
On 02:39 by barbrawilliam in Habari No comments
Mwanamziki wa Bongo Fleva Linah Sanga leo asubuhi amekula shavu la kuwa balozi wa kinywaji cha JEBEL FULL KIPUPWE. Akiwa katika ofisi za Serengeti Breweries Limited msanii huyo alidondosha wino wa mkataba huo huku akiwa pembeni na Managing Director wa SBL Ndugu Steve Gannon.
Pia Linah amekula mkataba wa mwaka mmoja na kampuni fulani hivi ambayo atakuja kuitamka yeye mwenyewe chini ya mameneja wapya na kampuni hiyo itamghamia kuanzia muziki wake pamoja na video yake mpya anayoenda kuifanya South Africa. Kampuni hiyo imesema inatarajia kutoa shilling Million 270 kwa mwaka huo mmoja watakaokuwa na Linah.
Pichani kuanzia kushoto ni Managing Director wa SBL Steve Gannon pamoja na meneja wa Linah aliyekaa upande wa kulia wakishuhudia kwa makini wakati Linah akisaini mkataba huo wa kinywaji cha JEBEL FULL KIPUPWE
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
0 maoni:
Chapisha Maoni