Jumapili, 28 Juni 2015
Faiza Ally ameingia kwenye vita kubwa ya maneno na msanii Peter Msechu baada ya msanii huyo wa bongo fleva ujumbe mzito.Leo asubuhi Peter Msechu ameitwa kubwa jinga na mwanamama huyo na kuambiwa bila mashindano ya bongo star search sijui angekuwa wapi.

Peter Msechu alitoa ya moyoni kulaani kivazi hicho kwa siku muhimu kama ile ambapo hadi viongozi wa serikali huudhulia na wasanii kupata nafasi ya kupewa kipaumbele nchi nzima na kutazamwa.
Huyu ni mke wa mheshimiwa mmoja hiviiiiiiiii, la haulaa! hapa ndipo tumefikia
Mama huyo wa mtoto mmoja Sasha amedai watu wengi wamemfahamu kupitia kivazi hicho wasimuhukumu.Amefanya mengi na makubwa kwenye jamii,anasomesha watoto yatima nakujishuhulisha na kampeni za mauaji ya albino na magojwa ya kansa.
Na katika uhalisia kivazi hicho kilishuka bahati mbaya na kushindwa kupandisha.Watu maarufu walio laani tendo hilo kwa kumsapoti Peter Msechu ni Diamond Platnum,Kajala,Shilole,Jokate,Salama Jabir,Joe Makini,Jokate na Madam Lita kwa kulike ujumbe huo
.
.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Juni
(10)
- VAZI LA KITENGE
- JOKATE MWENGELO NI MREMBO MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA...
- Wema sepetu na mume wa Zari kufungua duka kubwa l...
- Magonjwa ya kinywa na meno husababisha harufu mbay...
- TUMIA MIMEA ASILI KWA KUONDOA CHUNUSI
- Huyu ni mke wa mheshimiwa mmoja hiviiiiiiiii, la h...
- KUWA NA MUONEKANO WA KIPEKEE KATIKA EVENT MBALI MBALI
- UREMBO WA KUCHA KWA MWANAMKE
- Vaa nguo sare na mpenzi wako
- Breaking News; Msanii Maarufu wa Bongo Movie Afari...
-
▼
Juni
(10)
0 maoni:
Chapisha Maoni