Jumanne, 6 Oktoba 2015
On 13:40 by barbrawilliam in Fashion, Habari, kimataifa.tujuzane, kitaifa, Mitindo, Stly, Urembo No comments
Tamasha la Fahari ya Mwafrika ambalo limefanyika Escape One Mikocheni B jijini Dar es salaam ambalo liliwakutanisha magwiji mbalimbali katika kiwanda cha sanaa ya ubunifu mvbali mbali ambapo walijitokeza wachoraji wa picha,wabunifu wa mavazi navinygo pia burudani za ngoma za asili kutoka bagamoyo pamoja na vyakula vya asili kusheheni siku iyo
Lengo kuu la tamasha hili ni kuwa kutanisha waafrika mbalimbali kujuana na kufundishana fani mbalimbali za ubunifu wa vitu vya kiafrika
.Tamasha hili liliudhuliwa na nchi mbalimbali ikiwemo Zambia,Malawi,Ghana,Namibia,South Afrika na Tanzania.Hii ni mara ya pili kufanyika kwa tamasha hili la Fahari ya Mwafrika hapa nchin
baadhi ya model wakifanya mazoezi kabla ya shughuri kuanza
mmbunifu wa vinyago kwa kutumia mawe waya na shanga akitokea zambia
watoto nao walikuwepo siku hiyo
mmbunifu wa vinyago,shang na mavazi akiwa bize kupanga vitu vyake
Open Africa magazine na wao walikuwepo siku hiyo
model wakijitayarisha kupanda juukwaani
barbra william kutoka tv51
mkurugenzi wa fahari ya mwafrika
kulwa mkwandule afunika siku hiyo kwa kuwavisha model mavaz ya kiupekee
Lengo kuu la tamasha hili ni kuwa kutanisha waafrika mbalimbali kujuana na kufundishana fani mbalimbali za ubunifu wa vitu vya kiafrika
baadhi ya model wakifanya mazoezi kabla ya shughuri kuanza
mmbunifu wa vinyago kwa kutumia mawe waya na shanga akitokea zambia
watoto nao walikuwepo siku hiyo
mmbunifu wa vinyago,shang na mavazi akiwa bize kupanga vitu vyake
Open Africa magazine na wao walikuwepo siku hiyo
model wakijitayarisha kupanda juukwaani
barbra william kutoka tv51
mkurugenzi wa fahari ya mwafrika
kulwa mkwandule afunika siku hiyo kwa kuwavisha model mavaz ya kiupekee
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...