Alhamisi, 18 Julai 2019
Tarehe kama ya leo julai 18 mwaka 1918 alizaliwa,Mzee Nelson Mandela Raisi wa kwanza wa Africa kusini alichaguliwa kidemokrasia na ni mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel
alifariki December 5-2013 akiwa na umri wa miaka 95.Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 gerezani kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa adrica kusini unaofahamika kama Ukaburu
Aliachiwa huru kutoka gerezani mwaka 1990 na kuwa raisi alitumikia miaka mine na baadae kuachia madaraka baada ya kutumikika kwa kipindi kimoja tu.Kitendo adimu kufanywa na viongozi waliopo
.
Akiwa mtu anayependwa Zaidi duniani,mandela aliwavutia mamilioni ya watu kwenye hotuba zake zilizokuwa zimejaa maneno ya faraja na ukombzi

Hii ni moja ya nukuu zake alipoamua kuachia madaraka kwa hiyari yake
"ongoza kutokea nyuma na wafanye wengine waamini wao ndio wako mbele zako"
Je?wew unwkumbuka nukuu gani kutoka kwa hayati "NELSON MANDELA"
toa comment yako hapo chini.HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA
alifariki December 5-2013 akiwa na umri wa miaka 95.Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 gerezani kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa adrica kusini unaofahamika kama Ukaburu
Aliachiwa huru kutoka gerezani mwaka 1990 na kuwa raisi alitumikia miaka mine na baadae kuachia madaraka baada ya kutumikika kwa kipindi kimoja tu.Kitendo adimu kufanywa na viongozi waliopo
.
Akiwa mtu anayependwa Zaidi duniani,mandela aliwavutia mamilioni ya watu kwenye hotuba zake zilizokuwa zimejaa maneno ya faraja na ukombzi

Hii ni moja ya nukuu zake alipoamua kuachia madaraka kwa hiyari yake
"ongoza kutokea nyuma na wafanye wengine waamini wao ndio wako mbele zako"
Je?wew unwkumbuka nukuu gani kutoka kwa hayati "NELSON MANDELA"
toa comment yako hapo chini.HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA

Jumatano, 17 Julai 2019
FAHAMU NJIA ZA ASILI ZA KUTIBU VIPELE VYA CHUNUSI KWENYE USO
Habbat sawadah ya unga iliyo sagwa.nusu kikombe ya maganda ya komanga yaliyo sagwa,nusus kikombe ya siki ya tofaha{apple}
MATAYARISHO NA MATUMIZI
Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha habbat-dawdaa iliyosagwa nusu kikombe,kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa nusu,kikombe cha siki ambayo inatokana na juisi ya tofaha{apple}.Paka katika sehemu inayotakia kabla ya kwenda kulala kila siku usiku mpaka chunusi zitakapoondoka
NB;Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni laziam uwekwe kwenye sehemu ya ubaridi
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL

Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina la UFAHARI WETU "urith wetu"lenye lengo la kuitangaza utanzania katika vazi la kitenge
Mbunifu huyo wa mitindo ya kipekee nchini amesema maonyesho hayoyatafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam tarehe20 jumamosi hii kwa kuwashirikisha wabunifu na wanamitindo kutoka nchini china pamoja na watanzania ikiwa ni kutangaza Utanzania katika vazi la kitenge
Amewataka wadau mbalimbali kutoa ushirikiano kwa kuleta bidhaa zao siku iyo na watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha ilo la Ufahali wetu 'urith wetu

wabunifu wa mavazi nchini wamejitokeza kutoa ushirikiano pamoja na waandaaji wa vipindi vya urembo na mitindo nao watoa surpot yao siku ya tamasha hilo
m

Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina la UFAHARI WETU "urith wetu"lenye lengo la kuitangaza utanzania katika vazi la kitenge
Mbunifu huyo wa mitindo ya kipekee nchini amesema maonyesho hayoyatafanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam tarehe20 jumamosi hii kwa kuwashirikisha wabunifu na wanamitindo kutoka nchini china pamoja na watanzania ikiwa ni kutangaza Utanzania katika vazi la kitenge
Amewataka wadau mbalimbali kutoa ushirikiano kwa kuleta bidhaa zao siku iyo na watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha ilo la Ufahali wetu 'urith wetu

wabunifu wa mavazi nchini wamejitokeza kutoa ushirikiano pamoja na waandaaji wa vipindi vya urembo na mitindo nao watoa surpot yao siku ya tamasha hilo
m
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...