Alhamisi, 18 Julai 2019
Tarehe kama ya leo julai 18 mwaka 1918 alizaliwa,Mzee Nelson Mandela Raisi wa kwanza wa Africa kusini alichaguliwa kidemokrasia na ni mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel
alifariki December 5-2013 akiwa na umri wa miaka 95.Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 gerezani kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa adrica kusini unaofahamika kama Ukaburu
Aliachiwa huru kutoka gerezani mwaka 1990 na kuwa raisi alitumikia miaka mine na baadae kuachia madaraka baada ya kutumikika kwa kipindi kimoja tu.Kitendo adimu kufanywa na viongozi waliopo
.
Akiwa mtu anayependwa Zaidi duniani,mandela aliwavutia mamilioni ya watu kwenye hotuba zake zilizokuwa zimejaa maneno ya faraja na ukombzi

Hii ni moja ya nukuu zake alipoamua kuachia madaraka kwa hiyari yake
"ongoza kutokea nyuma na wafanye wengine waamini wao ndio wako mbele zako"
Je?wew unwkumbuka nukuu gani kutoka kwa hayati "NELSON MANDELA"
toa comment yako hapo chini.HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA
alifariki December 5-2013 akiwa na umri wa miaka 95.Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 gerezani kwa sababu ya mapambano yake dhidi ya mfumo wa kibaguzi wa adrica kusini unaofahamika kama Ukaburu
Aliachiwa huru kutoka gerezani mwaka 1990 na kuwa raisi alitumikia miaka mine na baadae kuachia madaraka baada ya kutumikika kwa kipindi kimoja tu.Kitendo adimu kufanywa na viongozi waliopo
.
Akiwa mtu anayependwa Zaidi duniani,mandela aliwavutia mamilioni ya watu kwenye hotuba zake zilizokuwa zimejaa maneno ya faraja na ukombzi

Hii ni moja ya nukuu zake alipoamua kuachia madaraka kwa hiyari yake
"ongoza kutokea nyuma na wafanye wengine waamini wao ndio wako mbele zako"
Je?wew unwkumbuka nukuu gani kutoka kwa hayati "NELSON MANDELA"
toa comment yako hapo chini.HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tamasha la kutuza watu weusi wanaon"ara kwenye fani tofauti zinazoandaliwa na televison(BET),zilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na...
-
Huyu ni binti mwenye umri wa miaka19 mzaliwa wa mkoa wa Morogoro amemaliza elimu yake ya msingi na sekondani mkoani morogoro. Fani ya urem...
-
barbra william Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyu...
0 maoni:
Chapisha Maoni