Jumatano, 14 Julai 2021
Hii ni baada ya taarifa siku ta jana kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na watu wengi kushangaa kwanini Miss Tanzania 2020-2021 Rosey Manfere hajatangazwa kwenda kushiriki Miss World2021 na badala yake ametangazwa mshindi wa pili ambaye ni Juliana Lugumisa taarifa za ndani zina sema
"Kulitokea na utovu wa nidhamu kati ya Miss Tanzania Rosey na waandaaji wa mashindano ya miss Tanzania hivyo kutokana na kukiuka baadhi ya taratibu kamati ya Miss Tanzania ikafikia hatua hiyoya kumtangaza mshindi wa pili kwenda kushiriki
Miss Tanzania Rosey Manfere alipewa taarifa wiki mbili zilizopitz kuwa hatoenda kushiriki miss world kutokana na utovu wa nidham"
Taarifa za ndani zinasema hivyo,
Ikumbukwe Miss World 2021 inategemea kufanyika December 16,2021 Puerto Rico na anayepeperusha bendera yetu kwa sasa ni Juliana Lugumisa aliyekuwa Miss Tanzania namba mbili. Waswahili wanasema kutesa kwa zamu
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Akiwa na umri wa miaka 89 aliishi katika kipindi kigumu katika miaka ya 1990 kutokana na talaka za watoto wake 3 na ukimya usiokifani...
-
Rangi ya mdomo ni moja ya vipodozi vinavyoongeza urembo kwa mwanamke.Kuna rangi mbalimbali za mdomo kulingana na anachopenda kupaka mrembo h...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
MISS KINONDONI 2019 PRESS BONANZA Leo miss kinondoni wamefanya special bonanza kwa lengo la kuchangia kituo ch...
-
Tanzania ni moja ya nchi zilizoko chini ya jangwa la sahara afrika imekuwa na wimbi la kuongezeka kwa watu wenye ulemavu ngozi ,jamii y...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
0 maoni:
Chapisha Maoni