Jumatatu, 13 Julai 2015
Hali ndani ya chadema imezidi kuwa tete mpaka sasa baada ya katibu mkuu wa Chadema Dr.slaa kutishia kurudisha kadi ya Chadema na kuachana na siasa za chama hicho kama MBOWE ataendelea kumshawishi na kumuomba LOWASA kujiunga na chama hicho ili awe mgombea wao wa uraisi.
Dr.SLAA ameonyesha msimamo huo muda mfupi kabla ya LOWASA hajaongea na waandishi wa habari nyumbani kwake masaki kuhusiana na hatima yake hiyo.Slaa amekihakikishia chambo chetu kwamaba yeye hamuungi mkono MBOWE kwenye mpango wake huo wa kumtaka LOWASA awe mgombea wa urahisi kupitia chama hicho.
Kwasababu ya mpasuko huo,timu ya mkakati ya LOWASA imeamua kuahirisha mkutano wao na Waandishi wa Habari uliokuwa ufanyike leo saa tano asubuhi hii kama ambavyo Mbowe ameomba ili kwanza wamalize tofauti zilizojitokeza kati yake na SLAA.Ikumbukwe kwamba hivi sasas SLAA ana mvutanao mkubwa na viongozi wenzake wa UKAWA ambapo analazimisha yeye awe mgombea.
Dr.SLAA ameonyesha msimamo huo muda mfupi kabla ya LOWASA hajaongea na waandishi wa habari nyumbani kwake masaki kuhusiana na hatima yake hiyo.Slaa amekihakikishia chambo chetu kwamaba yeye hamuungi mkono MBOWE kwenye mpango wake huo wa kumtaka LOWASA awe mgombea wa urahisi kupitia chama hicho.
Kijana mmoja wa CHADEMA ambaye yupo karibu na MBOWE amethibitisha kwamba MWENYEKITI wao huyo yupo tayari hata kumfukuza chama SLAA ili LOWASA awe mgombea wao anasema MBOWE anaamini kwamba LOWASA ataipeleka CHADEMA madarakani
Kwasababu ya mpasuko huo,timu ya mkakati ya LOWASA imeamua kuahirisha mkutano wao na Waandishi wa Habari uliokuwa ufanyike leo saa tano asubuhi hii kama ambavyo Mbowe ameomba ili kwanza wamalize tofauti zilizojitokeza kati yake na SLAA.Ikumbukwe kwamba hivi sasas SLAA ana mvutanao mkubwa na viongozi wenzake wa UKAWA ambapo analazimisha yeye awe mgombea.
Tayari mzee EDWIN MTEI ametumiwa ndege ili aje Dar haraka kumshawishi SLAA akubali kumpisha LOWASA kugombea urais
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Search
Popular Posts
-
ALLY REHMTULAH KUJA NA UFAHARI WETU FESTIVAL Mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Allyrehmtullah ameandaa tamasha linalokwenda kwa jina ...
-
Faida za kutumia ua la Ulimi wa Mama Mkwe kiroho ni nyingi sana, hasa kwa mtu mwenye macho ya rohoni au anayejishughulisha na mambo ya kinga...
-
UREMBO ni jambo muhimu kwa mwanamke kwa kujiweka nadhifu wakati wote ikiwa ni pamoja na kujipamba na kujifanyia usafi wa mwili. Watu wengi w...
-
Msanii Linah Sanga alimaarufu kama Ndege mnana amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye nje ya kazi yake ya sanaa ni msusi mzuri wa nywele na al...
-
JACKSON KABIRIGI'S PROFILE
-
Fainali ilikua ni Jumamosi ya April 18 2015 ambapo shindano la Airtel Trace Music Stars lilifanyika Nairobi Kenya likiwa ni shindano ...
-
urembo Fashionable lineup ... Rihanna, Beyonce, Jay Z, Kim Kardashian, Jennifer Lopez and Sarah Jessica Parker. Pictures: Getty Source...
-
Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, kufungua duka kubwa la urembo nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa c...
Recent Posts
Categories
Sample Text
Blog Archive
-
▼
2015
(56)
-
▼
Julai
(11)
- MAYUNGA NALIMI AIRTEL TRACE MUSIC STAR
- JINSI YA KUJIWEKA WA THAMANI KWA MPENZI WAKO
- Miti shamba inayofanya matiti kuwa makubwa na yal...
- JE? UNAMFAHAMU LINAH SANGA NJE NA MUZIC ANAJISHUGH...
- BREAK NEWS;UJIO WA LOWASA CHADEMA WAWAGAWA MBOWE N...
- STAA NA MTOKO TOFAUTI NDANI YA BET
- MNYAMA MWENYE SAUTI KUBWA DUNIANI
- FAIDA YA LIMAO KWENYE NGOZI
- FANGASI SEHEMU ZA SIRI
- PENDEZA KWA KUPAKA MAKE UP KUTOKANA NA KIREMBA ULI...
- CHAGUA RANGI YA MDOMO KUTOKANA NA RANGI YAKO
-
▼
Julai
(11)



.jpg)
0 maoni:
Chapisha Maoni